Nenda kwa yaliyomo

California

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
California
Jimbo
Kauli Mbiu
"Eureka"
Ramani ya
Ramani ya
Eneo la California katika Marekani
Nchi Marekani
Mwaka wa Kujiunga Septemba 9, 1850; 174 (31st) (Miaka 175 iliyopita)
Mji Mkuu Sacramento
Jiji kubwa Los Angeles
Lugha rasmi Kiingereza
Lugha zinazozungumzwa 56.8% Kiingereza
28.18% Kihispania
Utaifa Mkalifornia Californian (en)
Serikali
Gavana Gavin Newsom
Naibu gavana Eleni Kounalakis (D)
Eneo
Jumla 423970 km²
Ardhi 403466 km²
Maji 20504 (4.84%)
Idadi ya Watu
Kadirio increase 39,512,223


Pato la Taifa (2024)
Jumla increase $4.08 trilioni (ya 1)
Kwa kila mtu increase $93,460
Kiashiria cha
Maendeleo ya Watu
(2018)
0.935 (ya 15)
Maendeleo ya Juu Sana
Mapato ya Kati
ya Kaya (2023)
$95,500 ()
Eneo la saa UTC-8 (PST), UTC-7 (PDT)
Tovuti
🔗ca.gov

California (/ˌkælɪˈfɔːrnjə/) ni jimbo katika Mkoa wa Magharibi wa Marekani linalopatikana kwenye Pwani ya Pasifiki. Linapakana na Oregon upande wa kaskazini, Nevada na Arizona upande wa mashariki, na linashiriki mpaka wa kimataifa na imbo la Mexico la Baja California upande wa kusini. Pamoja na zaidi ya watu milioni 39 wanaoishi kwenye eneo la maili za mraba 163,696 (km² 423,970), ni jimbo lenye idadi kubwa zaidi ya watu Marekani, la tatu kwa ukubwa kwa eneo, na kitengo cha idadi ya watu kikubwa zaidi kisichokuwa cha taifa barani Amerika Kaskazini.


Wakazi wamekadiriwa kuwa 39,512,223 mwaka 2019.

California ni kati ya majimbo ya Marekani yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi. Kama California ingekuwa nchi huru ya kujitegemea uchumi wake ungekuwa na nafasi ya 8 duniani. Utalii, kilimo na viwanda vya ndege huajiri watu wengi. Kampuni za kompyuta zimestawi vizuri sana California, kwa mfano Microsoft. Los Angeles, hasa eneo la Hollywood, ni kitovu cha kupiga picha za filamu.

Mji mkuu ni Sacramento. Kuna miji 59 yenye wakazi zaidi ya lakhi moja:

Mji Wakazi
1 Los Angeles 3.957.875
2 San Diego 1.305.736
3 San Jose 944.857
4 San Francisco 799.263
5 Fresno 500,017
6 Long Beach 491.564
7 Sacramento 452.959
8 Oakland 412.318
9 Santa Ana 351.697
10 Anaheim 345.317
Hifadhi ya Redwood
Mlima Shasta
Yosemite National Park

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu California kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  翻译: